Leave a Reply Cancel reply
Injili Sio Hadithi, Ni Halisi!!
Tunapenda Kuwakaribisha Watu Wote Kwenye Blog Ya Injili Ya Strictly Gospel. Bwana Yesu anakupenda!
YALIYOMO KWENYE BLOG
Top Posts
- Je tunajua nini kuhusu Freemasonry?
- Rose Muhando Autambulisha UTAMU WA YESU
- TB Joshua atabiri kifo cha Rais Afrika?
- Mtume na Nabii Josephat Mwingira
- Ujumbe kutoka kwa mwl Christopher Mwakasege
- NAMNA YA KUOMBA
- Kwaresma njema
- Edward Lowasa, atabiriwa na TB Joshua?
- Fanuel Sedekia ni marehemu!
- ALBUM YA TATU ya - Bahati Bukuku
- Tumsifu Yesu Kristo!
- Dini ya Obama bado ni gumzo Marekani
CONTACT US
Email:
strictlygospel@yahoo.co.uk
SMS 24 Hours:
TANZANIA
+255 714 915 424
Fahamu Zaidi!
OTHER WEBSITES
- Ambwene Michael
- Christopher Mwakasege
- Emmanuel Sowane
- Enjoying His Presence
- Ev. Moses Mayila
- Hosanna Inc
- Massaba
- Mgisa Mtebe
- Mr&Mrs. George Kayala
- Mtumishi Lema
- National Network of Prayer
- Nyimbo za Dini
- Patrick Sanga Ministries
- Rhema Outreach Ministries
- Ruma Africa
- Sam Sasali "PAPAA"
- The Daniel Initiative
- Uncle Jimmy
- Women Of Christ
Featured Posts
-
Dini ya Obama bado ni gumzo Marekani
Hivi karibuni mzozo kuhusu dini ya Rais wa Marekani Barack Obama umeibuka tena, ambapo wapinzani wake wakimhusisha na dini ya kiislamu. Mtumishi wa Mungu Franklin Graham, mtoto wa Mwinjilisti Billy Graham alipohojiwa na kituo cha MSNBC kuhusu dini ya Obama, Alijibu ” Muulizeni yeye, siwezi kumjibia mtu swali hilo, Ninachojua mimi ni mwenye dhambi, na [...]
-
Tumsifu Yesu Kristo!
Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo, Mimi ni mama mwenye Familia ya watoto wawili ninaomba mnisaide kuniombea familia yangu imeingiwa na mfadhaiko mkubwa mtoto wa kwanza kati ya hawa wawili anakunywa sana pombe hata siku nyingine kushindwa kwenda kazini. hajaoa bado. na anavuta sigara sana, vilevile hawa wote wawili hawana mwammko kabisa wa kumfuata Yesu, [...]
-
Umetenda Mema – Kambua
Kambua Kambua ni muimbaji wa nyimbo za Injili mwenye jina kubwa nchini Kenya, alianza kuimba na kupenda nyimbo za Injili alipokuwa mdogo na watu wengi waliona kilichokuwa ndani yake, baadaye mwaka 2005 akaenda kusomea Muziki nchini Canada chuo cha Kikristo, Calgary. Na katika maisha yake chuoni, alijiunga na band ya chuo Legacy Youth Conference (LYC). [...]
-
Zijue Karama za Roho Mtakatifu
I Wakorintho 14:12. Inasema ‘vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za rohoni, takeni kwamba mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa. Mungu hafanyi kitu bila kusudi, na kusudi la semina hii ni:- Kuna jambo Mungu anataka kufundisha katikati yetu ambalo litahusisha sana utendaji wa karama za Roho Mtakatifu. Kurahisisha [...]
-
Tembea na Bwana Yesu Wakati wote.
Kama wewe ni mkristo elewa uko duniani kwa kusudi la Mungu, Naamini kwamba Mungu amempa kila mmoja wetu kusudi amempa vipawa au karama na huduma mbalimbali, Naamini kama una uhusiano mzuri na Mungu, kama utatembea naye kila siku kwenye maombi yako na mazungumzo yako uko naye. Unaweza kujua mwisho wako utakapokaribia baada ya kumaliza kile [...]


Recent Comments