Bahati Bukuku asema ni MWAKA WA KIBALI

Bahati Bukuku, Rose Muhando na John Shabani mwezi wa Pili!

Muimbaji wa Injili Tanzania Bahati Bukuku baada ya kuwa kimya kwa miaka minne tayari ana album mpya yenye jina MWAKA WA KIBALI, hii ni album yake ya nne ambapo nyimbo mpya kama WEWE NI BABA na UNATISHA zimeanza kusikika redioni.

Bukuku amekuwa akiimba nyimbo za faraja na amekuwa akisisitiza nyimbo zake ni maisha yake na jinsi Mungu anavyo muongoza ili afanyike msaada kwa wengine, kwa Utukufu wa Mungu. Karibu tena Dada Bahati ni siku nyingi tumesubiria!

7 thoughts on “Bahati Bukuku asema ni MWAKA WA KIBALI

  1. ubarikiwe sana kwa kutoa albam nyingine dada, cha muhimu endelea kuwa rohoni zaidi ili upate ujumbe sahihi kwani unahubiri kwa njia ya uimbaji, wanamuziki wengi sasa ni waburudishaji tu na kupenda style nyingi za uchezaji badala ya kujali ujumbe. Mungu atusaidie

  2. salamu, japo mimi kiimani tuko tofauti lkn napenda sana jumbe zako, tupo pamoja sana, nakupenda dada yangu nakutakia kila la kheri na mafanikio zaidi ktk kazi zako

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out / Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out / Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out / Change )

Connecting to %s