Hapa karibuni nimekutana na maswali mengi sana. Nilikuwa na rafiki yangu wa karibu sana (msabato) ambaye alipata shida kidogo lakini kwa kuwa niligundua ni ya kiroho, nikaanza kumshirikisha neno na zaidi nikampeleka kanisani aonane na mchungaji. Alipowasili kanisani ghafla alikataa kuombewa na kumpokea Yesu, akisema kuwa anaamini Mungu ni mmoja. Hatukuweza kumlazimisha, baada ya miezi … Continue reading
TAMKO LA ASKOFU MKUU WA TAG, KUHUSU MATUKIO YANAYOASHIRIA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI
Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoashiria uvunjifu wa amani, umoja na utengamano wa taifa letu la Tanzania, haya ndiyo yanayonisukuma kutoa tamko hili leo ili kuonya na kushauri. Katika siku za karibu kiumeibuka makundi mbalimbali ya kidini ambayo yalianza kutoa matamko yenye kuchochea ghasia za kidini Tanzania, na pengine kauli hizo ndizo … Continue reading
Mungu anatukuzwa kwa wanaobadili miili yao?
Bwana Yesu asifiwe, kumekuwa na tatizo la watumishi wa Mungu hasa wanawake kuongeza vitu kadhaa kwenye maumbile yao, mfano kujichubua, kuongeza makalio, kupachika nyusi, wanaopunguza mwili, nk nk Hivi kweli kama kuna mtumishi wa namna hii, anapoimba au kuhubiri kwa watu, Mungu anajitwalia Utukufu? na siku hizi kuna hata wanaume wanajichubua! wako makanisani. Unatafsiri gani … Continue reading
Leo ni siku ya Pentekoste
Ni siku ya Pentekoste, inajulikana kwenye madhehebu ya kipentekoste na vikundi mbali mbali vya kikristo. Siku halisi ya Pentekoste ilianza baada ya siku hamsini (50) Bwana Yesu kufufuka. Roho Mtakatifu alivyomiminwa kwa wanafunzi wapatao 120. Na kutimiza unabii uliotolewa zamani Matendo 1:15-16 ‘Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu … Continue reading
Hongera Erick Brighton
Leo tarehe 27 May 2012 ni siku ya furaha kwa mtangazaji wa Praise Power Radio, Erick Brighton amefunga ndoa kanisa la Mikocheni B Assemblies of God. Tunawapongeza sana, Mungu aibariki ndoa yenu
Kanisa, Gari la Askofu Vyachomwa moto, Uamsho wakana kuhusika
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kila sifa njema anastahiki ALLAH (S.W) na Rehma na Amani zimuendee Mtume Muhammad (S.A.W), ahli zake, Maswahaba zake na walio wema katika Uislamu. Jumuia ya UAMSHO inatoa taarifa rasmi kwa umma wa Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla kwamba haihusiki na vitendo vyote vya uvunjaji wa amani vilivyotokea usiku wa … Continue reading
Malaika Waliumbwa lini?
Bwana Asifiwe wana SG, Hivi MALAIKA WALIUMBWA WAKATI GANI?Coz shetani(The fallen Angel) alishuka bustanini kumjaribu Adam and Eve, Hakuna popote kabla ya hapa katika habari ya uumbaji Biblia inazungumza kuumbwa kwa malaika. It was total darkness and the Spirit of God was hovering over the waters,Stori yote ya uumbaji haiinclude Angels,Ghafla shetani anatokea kuwajaribu.Pls help … Continue reading
King’s Choir Kufanya Live recording, Morogoro
Ni tarehe 03 June 2012, Praise Team ya King’s kutoka mkoa wa Morogoro watafanya Live recording. Itakuwa ni Ibada ya kusifu na kuabudu kanisa la Canaan Calvary Assemblies of God, wakishirikiana na kwaya hiyo. Tamasha hilo la uimbaji litarekodiwa kwa moja katika Audio na Video. Wakazi wote wa Morogoro na vitongoji vyake, Karibuni tumuabudu Mungu pamoja, … Continue reading
Catholics do not worship statues—Lwanga OH! Really
“Thou shalt not make unto thee any graven image, or any likeness of any thing that is in heaven above, or that is in the earth beneath, or that is in the water under the earth” (Exodus 20:4) http://www.newvision.co.ug/news/630374-catholics-do-not-worship-statues-lwanga.html Publish Date: Apr 16, 2012 By Juliet Lukwago The Archbishop of Kampala Dr. Cyprian Kizito Lwanga … Continue reading
Mchungaji atamka dawa ya mashoga na wasagaji ni kuuawa!!
Mchungaji Charles L. Worley wa Providence Road Baptist Church, North Carolina, amezua gumzo baada ya video yake kusambaa mtandaoni akielezea jinsi ya kufanya kutatua tatizo la mashoga kwenye jamii…wawekwe kwenye uzio wa umeme waachwe mpaka kufa” “Build a great, big, large fence — 150 or 100 mile long — put all the lesbians in there,” … Continue reading
Who Is The Jew?
With all the different ideas floating around out there, one of them is bound to make us happy. But I am not interested in an idea that is not founded and based upon truth which is the word of God. There is a prevalent idea among us that states the natural Jew has a foot … Continue reading
Reuben Kigame Kufanya Huduma Ibada ya Kiswahili, Columbus, OH
Reuben Kigame & Sifa Voices Walianza safari yao kutoka Kenya tarehe 19 April na kufika Marekani wamefanya huduma sehemu mbali mbali ambapo wametembelea kituo cha radio, wamefanya huduma majumbani, kuzungumza na vijana, wajane na makundi mbali mbali ya uimbaji. Wiki hii tarehe 27 May watakuwa kwenye Ibada ya Kiswahili, Columbus OH. Karibuni sana tupate kumwabudu … Continue reading
Nassari Atoa Shukrani Kanisani
Mbunge Joshua Nasari na Kangi Lugora wakitoa shukurani zake kanisani. Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Bw Joshua Nassari jana tarehe 20 May 2012, alitoa sadaka ya shukrani katika kanisa la FPCT Kilinga Wilayani Meru mara baada ya kuchaguliwa kama Mbunge wa jimbo hilo. Akiongea na Mamia ya wananchi wa jimbo hilo katika … Continue reading
Tukiwa Kwenye Giza Nene, Kuna Mwanga Utatokea!
Kuna ushuhuda wa mama mmoja ambaye alikuwa na maumivu mengi moyoni mwake. Ni mjane aliyelea watoto wake saba, ilikuwa ni family kubwa yenye furaha na kila sikukuu ya Krismas walikutana na kufurahia pamoja. Lakini furaha yake ikaanza kutoweka baada ya mtoto wake wa mwisho kufariki ghafla. Alikuwa ni kijana mwenye miaka 27 pekee, huyu mama … Continue reading
New Bible Versions REMOVE ‘Father’ and ‘Son Of God’ Because It Offends Muslims
“And if any man shall take away from the words of the book of this prophecy, God shall take away his part out of the book of life, and out of the holy city, and [from] the things which are written in this book.” Revelation 22:19 A controversy is brewing over three reputable Christian organizations, which … Continue reading
Mtu aliye na njia hawezi kukosea njia!
Jinsi Gani unaweza kutembea na Mungu na kufanya tofauti? Tunamuhitaji Roho Mtakatifu katika kila tunachokifanya, Kanisa la Mungu inabidi lijazwe na Roho Mtakatifu. Mtu aliye na njia, hawezi kukosea njia, njia ni Yesu peke yake!! —Askofu Eugene Murisa, Mwanza
Utafiti wa kisayansi uliogundua sauti za wanadamu wanaoteseka kuzimu
Kikundi cha wanajiolojia watafiti Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao haukuwa na uhusiano wowote na masuala ya rohoni, walijikuta wanagundua mambo ambayo yaliwatia hofu hadi wengine kukimbia kazi. Waliweza kusikia waziwazi sauti za vilio vya mateso kutokea katikati ya … Continue reading
Mwakasege Kufanya Semina Marekani
Mwalimu Christopher Mwakasege anatarajia kufanya semina tarehe 24 May 2012. Pamoja na semina hii waimbaji watakaoimba ni pamoja na J Sisters na Flora Mbasha. Pia mlio jirani na Maryland, nyote mnakaribishwa. Mwalimu Mwakasege, ataendelea kwenda majimbo mengine ambapo tutawajulisha ratiba. Mungu awabariki
AMKA CAMPAIGN–ZAMU YA TANZANIA KUSHINDA KWENYE AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS
Christian Bloggers Association Presents Amka Campaign Amka Campaign, ni Kampeni maalumu ya kuwashawishi watanzania wawapigie kura wanamuziki wa injili nchini ili kuibuka washimdi katika TUZO ZA MUZIKI WA INJILI BARANI AFRIKA.(AGMA). Lengo hasa la Amka Campaign ni kuzidi kuutangaza Muziki wa Injili kutoka Tanzania kwa bara zima la Afrika na Dunia kwa ujumla. Kwa muda … Continue reading
Iran Calls for ‘Islamic Awakening’ to Destroy Israel
by NTEB News Desk An Iranian official called this week for an ‘Islamic Awakening’ movement to help Palestinian Authority Arabs “demolish the Zionist regime”, the IRNA news agency reported. Nakba Day protests May 2012 The comments were made at a conference in Tehran in honor of Nakba Day – the day of catastrophe – which is what the … Continue reading
Matangazo ya kualika watu kanisani!
Kumekuwa na matangazo mengi ya kukaribishana kanisani, vipeperushi, kwenye radio, TV na mabango ya barabarani! Kwamba njoo kanisa fulani yupo Mungu, Njoo sehemu fulani kuna muujiza wako nk nk. Je makanisa yanahitaji kujitangaza hivi?
Manny Pacquiao atumia Biblia kumkemea Obama
Baada ya Obama kuunga mkono ndoa ya jinsia moja mapema wiki hii, Pacquiao ameelezea kwamba Raisi amekosea. Aliyasema hayo kwenye moja ya mahojiano yake akielezea Jamii inahitaji kumweka Mungu wa kwanza. Manny Pacquiao aliyeacha kucheza ndondi, alinukuu kitabu cha Mambo ya Walawi 20:13 “Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, … Continue reading
Ugandans turn to witchcraft to keep jobs
Former National Forestry Authority boss Hudson Andrua checks suspected fetishes found in the office of one of the directors in 2010 By Francis Kagolo As unemployment continues to bite, more literate Ugandans are turning to witchcraft to get and secure their jobs, a New Vision survey has revealed. The survey shows that more people in … Continue reading
Askofu aandika kitabu, Mungu siyo Mkristo!
Askofu maarufu wa kanisa la kipentekoste Carlton Pearson alitoa kitabu chenye kichwa cha habari. GOD IS NOT A CHRISTIAN, NOR A JEW, MUSLIM, HINDU….God Dwells with Us, in Us, Around Us, as Us Kwa maelezo yake ndani ya kitabu kwamba Yesu alisema, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwanjia ya mimi.Yohana 14:6 Kwa kauli hiyo … Continue reading