INJILI YA MILELE NI INJILI GANI? “Kisha nikaona malaika mwingine, akiruka katikati ya mbingu, mwenye Injili ya milele, awahubiri hao wakaao juu ya nchi, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa, akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na … Continue reading
VITABU VYA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
Askofu Samuel Imori aliyeleta hapa mfululizo wa somo la MSTARI UNAONILIZA KULIKO YOTE KATIKA BIBLIA, kwa msaada wa Mungu, alifanikiwa kukusanya mfululizo huo wa mafundisho na kuyaweka katika Kitabu ambacho kina jina VIKWAZO VYA KUURITHI UZIMA WA MILELE, 1 & 2. Pamoja na kitabu hicho hadi sasa ana vitabu vingine Tisa (9) ambavyo majina yake … Continue reading
Mmoja wa wanandoa anapopata matatizo…
Kwenye ndoa, inapotokea mmoja wapo amepata changamoto ya maradhi au ajali kiasi cha kumsababishia ulemavu hata asiweze kushiriki tendo la ndoa: Je, Ni nini hatima au nafasi ya mwanandoa ambaye mwenzi wake amepata matatizo hayo? Anonymous
SADAKA YA UKOMBOZI
Mimi natoka Kenya na nimeingia kwa blog hii kusoma na kujifahamisha mengi kuhusiana na wokovu. Nimependezwa sana na somo hili na hata mimi naomba kuuliza swali: 1. Nimesikia wengi wa wachungaji na watumishi wa Mungu wakiitisha Sadaka ya Ukombozi kwa wanaotaka kufanyiwa. (a).Je! ni halali kutoa sadaka ya ukombozi? (b).Ni maandiko yapi yanayodhibitisha hayo? Nitafurahi … Continue reading
Tunakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2023
Kwa muda wa kama miaka miwili hatukuweza kuwa hapa kutokana na sababu mbalimbali. Lakini kwa neema ya Mungu sasa tumerudi! Tunakutakia heri kwa mwaka huu wa 2023. Wakaribishe ndugu na marafiki kutembelea blog hii kwa maana sasa iko hewani. “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi … Continue reading
Injili Ruksa kuhubiriwa vilabu vya pombe
Mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda tarehe 8 mwezi Wa tisa ametoa kibali kwa Watumishi wa Mungu wa Dini zote kuhubiri na kutangaza neno la Mungu kwenye Sehemu za Club, Disko na Kumbi za Starehe ili neno la Mungu lizidi kuenea na kuwafikia watu wote jambo litakalosaidia kujenga jamii inayomjua Mungu. … Continue reading