Jumla ya watu wanne wamefariki Jumapili nchini Ghana, walipokuwa wakikanyagana kwenye huduma ya “Mafuta ya Upako” katika kanisa la Synagogue Church of All Nations lililoanzishwa na Mtume TB Joshua wa Nigeria. Msemaji wa polisi wa Mkoa wa Greater Accra kamanda Freeman Tetteh alisema wengine 15 walijeruhiwa na kukimbizwa hospitalini. Mr Tetteh alisema waliokufa walikuwa wanawake watatu na … Continue reading
Maskini tunao sikuzote, lakini Yesu….
Shalom Wapendwa, Maskini tunao siku zote, lakini Yesu ….. Napenda kushirikiana nanyi katika ujumbe huu niliou-copy na kuu-edit kutoka kwenye kitabu kiitwacho KUTAWALA FEDHA NA MATUMIZI. Biblia inasema “maana sikuzote mnao maskini pamoja nanyi, na kila mpendapo mwaweza kuwatendea mema; lakini mimi hamnami sikuzote.” – MARK 14:7. Bwana Yesu aliwaambia wanafunzi wake maneno hayo baada ya mwanamke … Continue reading
Amani kati ya Waislamu na Wakristo!
Migogoro mingi ya KIDINI ni ile inayotokea kati ya UISLAM vs UKRISTO. Je, Inawezekana kweli kuwa na Amani ya kudumu kati ya Ukristo na Uislam?
Mambo hayajileti Yenyewe…….
MAMBO HAYAJILETI YENYEWE - MAMBO YANASABABISHWA KUTOKEA. “5Naam, na kwa sababu iyo hiyo mkijitahidi sana kwa upande wenu,katika imani yenu tieni na wema, na katika wema wenu maarifa….(2Petro 1:5) Bwana akufunulie akili zako ili uelewe hiki tunachojifunza lakini pia akusaidie kuyaweka kwenye matendo haya unayojifunza. Sasa hivi tunaishi kwenye nyakati ambazo kumezuka mafundisho yenye msisitizo mkubwa sana … Continue reading
Isije Ikawa Umembeba Yona!
Kwenye Biblia, katika Kitabu cha Yona, tunapata habari za watumishi wa ile Melikebu aliyopanda Yona, jinsi walivyohangaika baharini, wakatosa mizigo yao wakitafuta ufumbuzi wa namna ya kupita katika ile dhoruba lakini haikusaidia. Walipomtosa Yona Baharini DHORUBA ilitulia, wakafanikiwa kuendelea na safari yao. Yawezekana unafanya kazi pamoja na mtu, au unashirikiana naye. Lakini mambo yamekuwa hayaendi. … Continue reading
Tusichoke kufanya Injili.
Bwana Yesu asifiwe watu wa Mungu, ninapenda kuwashauri watu wote tusichoke kumtangaza Bwana Yesu, tusiache kufanya kazi ya Mungu kwa bidii na moyo. Hali si nzuri kwenye nchi yetu, wakristo tusiposimama Imara nchi haitasimama. Tuamue mioyoni mwetu kufanya mabadiliko katika nchi . Tuwaombee watumishi wa Mungu mbali mbali nchini, wasichoke na kukatishwa tamaa, makanisa yaongezeke … Continue reading