INJILI YA MILELE

INJILI YA MILELE

 INJILI YA MILELE NI INJILI GANI? “Kisha nikaona malaika mwingine, akiruka katikati ya mbingu, mwenye Injili ya milele, awahubiri hao wakaao juu ya nchi, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa, akasema kwa sauti kuu, Mcheni Mungu, na kumtukuza, kwa maana saa ya hukumu yake imekuja. Msujudieni yeye aliyezifanya mbingu na nchi na … Continue reading

Mmoja wa wanandoa anapopata matatizo…

Mmoja wa wanandoa anapopata matatizo…

Kwenye ndoa, inapotokea mmoja wapo amepata changamoto ya maradhi au ajali kiasi cha kumsababishia ulemavu hata asiweze kushiriki tendo la ndoa: Je, Ni nini hatima au nafasi ya mwanandoa ambaye mwenzi wake amepata matatizo hayo? Anonymous

SADAKA YA UKOMBOZI

SADAKA YA UKOMBOZI

Mimi natoka Kenya na nimeingia kwa blog hii kusoma na kujifahamisha mengi kuhusiana na wokovu. Nimependezwa sana na somo hili na hata mimi naomba kuuliza swali: 1. Nimesikia wengi wa wachungaji na watumishi wa Mungu wakiitisha Sadaka ya Ukombozi kwa wanaotaka kufanyiwa. (a).Je! ni halali kutoa sadaka ya ukombozi? (b).Ni maandiko yapi yanayodhibitisha hayo? Nitafurahi … Continue reading

Tunakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2023

Tunakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2023

Kwa muda wa kama miaka miwili hatukuweza kuwa hapa kutokana na sababu mbalimbali. Lakini kwa neema ya Mungu sasa tumerudi! Tunakutakia heri kwa mwaka huu wa 2023. Wakaribishe ndugu na marafiki kutembelea blog hii kwa maana sasa iko hewani. “Neema ya Bwana Yesu Kristo, na pendo la Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi … Continue reading