Mchungaji wa Kanisa na Miradi ya biashara
Friday, December 4, 2009Wapo wachungaji ambao huendesha maisha yao kwa kutegemea sehemu ya au pesa yote inayotokana na sadaka/zaka na matoleo mengine katika kanisa lake. Lakini pia wapo ambao huwa na miradi mingine kwa ajili ya kujiongezea kipato ili waweze kumudu maisha yao pasipo utegemezi wa asilimia mia moja kwa kanisa.
Je, ni sawa au si sawa kwa mchungaji wa kanisa kuwa na njia nyingine ya kujipatia kipato kwa ajili ya kuendesha maisha yake zaidi ya kutegemea mapato kutokana na sadaka, zaka na matoleo mengine yanayokusanywa kanisani kwake?
Tumshukuru Mungu siku zote!
Tuesday, December 1, 2009Watu wengi wamejiuliza, inawezekanaje kumshukuru Mungu wakati unapita kwenye hali ngumu, wakati wewe ni mgonjwa, ndoa yako imekua mwiba, huna kazi, na umekataliwa?
Waweza kusikia wimbo huu kwa wengi, wengine wakisema uchumi mbaya, au maisha magumu. Hakuna habari nzuri sana kwenye vyombo vya habari, habari nyingi ni za kusikitisha na kukatisha tamaa.
Nyakati kama hizi, Wakati Taifa halina mwelekeo wa nani wa kumuamini, nani awe kiongozi, nani ataweza kusimama badala ya wananchi. Sisi Wakristo siku zote hatulalamiki, tunapata nguvu ya kusonga mbele tunapita katika yote kwa ushindi na matumaini kupitia Neno la Mungu na kumuomba Mungu azidi kutupa nguvu! Neno linasema katika 1 Wathesalonike 5:16-18 , “Furahini siku zote, Ombeni bila Kukoma, Shukuruni kwa kila jambo, maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu Katika Kristo Yesu“.
Mtume Paulo alijua anamaanisha nini kumsifu/Kumshukuru Mungu wakati au katikati ya matatizo. Alipita mara nyingi katika dhiki, njaa, adha, kupigwa na kuwekwa jela. Alidumu katika kushukuru na kumsifu Mungu wakati mwingi, naye Mungu akamjibu katika 2 Wakorintho 12:9, “Naye akaniambia, Neema yangu yakutosha, maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu. Basi nitajisifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi, ili uweza wa Kristo ukae juu yangu”
Dunia inavyohangaika kutafuta suluhisho la amani, kutafuta dawa za magonjwa, vita, umasikini na majanga mbalimbali. Ni jukumu letu sisi TULIOOKOKA kuuonesha Ulimwengu kwamba MUNGU YUPO na anafanya kazi na tudumu katika kukiri hivyo siku zote, haijalishi watu wanaona nini wewe ona tofauti maana Unamjua unayemuamini, onesha ulimwengu kwamba bado Mungu anawahitaji wale wote walio tayari kutubu na kuacha maovu yao na kumpokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wa Maisha yao. Sio kwamba aliteseka kwa ajili yetu pekee, Lakini pia amehaidi kuibeba mizigo yote inayotusumbua katika maisha yetu, hakuna jina lolote linalozidi Jina la YESU, majina ya magonjwa yote, matatizo, mapepo, ajali, mauti, umaskini hayo yote ni majina madogo sana hayasimami kwa jina la YESU, Neno la Mungu linasema “Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha” Mathayo 11:28
Katika hilo, Tusisahau KUMSHUKURU MUNGU SIKU ZOTE
Dunia hii itapita na mambo yake yoote. Hapa sio kwetu. “Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza kutetemeshwa, na mwe na Neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu Ibada ya kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho” Waebrania 12:28
–MD–
Annual Prayer Conference 29th Nov-5th Dec
Tuesday, December 1, 2009Gracious greetings in the name of our Lord Jesus Christ. Jericho Breakers Prayer Movement has a honor of inviting you to attend a prayer conference to be held at WORLD ALIVE CHUCRH HALL Sinza Mori, Dar es salaam.
Dr Livistone Banjagala accompany by Bishop Samson Wanjala of Kenya. Prophet Christopher Ikechwuku of Nigeria and Bishop Deo Lubara of Tanzania will be preaching. Theme of the conference is POSSESSING ON OUR KNEES Mathew 7:1-11 the Bible tells us to ASK, SEEK & KNOCK.
Let us ASK, SEEK & KNOCK together until we possess our possession.
——JERICHO BREAKERS PRAYER MINISTRY——-
Nisaidieni Ushauri
Tuesday, December 1, 2009Mimi Mungu alinibariki nikapata mtoto ingawa katika njia isiyo sahihi lakini Mungu amenibariki, amenisamehe na sasa nimesimama katika wokovu nikimtazama Yehova. Kwa kweli sikupenda lakini nilijikuta nikizaa na mtu ambaye alishawahi kuoa. Huyu baba wa mtoto wangu na mkewe hawako katika maelewano, lakini mimi nimelijua Neno sitaki tena kuanguka dhambini. Amekuwa akinihudumia mimi na mtoto wangu lakini kwa imani yangu bado sio kibali cha yeye kuniona mimi kama mke wake.
Jambo jema zaidi ametokea mtu ambaye anataka kunioa, nami nimemshukuru Mungu kwa sababu naamini Mungu pia atatengeneza ndoa ya baba wa mtoto wangu ingawa mwenyewe hataki anasema mimi ndio mkewe. Naamini mimi pia nina haki ya kuwa na mume wangu, bila kugombana ama kuingilia nyumba ya mtu mwingine.
Naamini mawazo na maoni ya watu yatanisaidia kupata ujasiri wa kumueleza baba wa mtoto wangu na akanielewa bila kukorofishana ili nisiendelee kusababisha mwanangu kukosa kupata huduma kutoka kwa baba yake kwa sababu ya sisi wazazi wake kutofautiana.
Asante, mbarikiwe
–A.S–
Dar es salaam
Mambo ya Kuzingatia Mungu anapokupa nafasi ya pili (SECOND CHANCE)
Tuesday, December 1, 2009USIRUDIE MAKOSA YA ZAMANI
Hakikisha unaishi katika kutokuyarudia makosa uliyoyafanya hapo kwanza yaliyosababisha ukashindwa katika nafasi ya kwanza.
Mpendwa, ukweli wa mambo ni kwamba moja ya sababu inayosababisha uwe kama ulivyo leo ni kwa sababu kuna mahali ambapo ulikosea katika maisha yako hapo nyuma. Sasa basi ili ufaulu katika nafasi hii ya pili uliyopewa na Mungu ni vyema utembee katika kanuni hii ya kutoyarudia makosa uliyoyafanya hapo nyuma Never repeat your former mistakes.
Katika kanuni hii ya kutorudia makosa ya kwanza mambo yafuatayo yanatakiwa kufanyika maishani mwako.
A. TAFAKARI NJIA ZAKO. Hagai 1:5 BWANA asema hivi tafakarini njia zenu, Hatua hii ya kutafakari ni ya muhimu sana maana hapo ndipo Mungu atakapoanza kusema nawe na hata kukumbusha pale ulipomkosea.
B. TUBU
Baada ya kutafakari na kujua dhambi/kosa lako ndipo hatua ni ya muhimu sana kufanyika ili sasa uweze kuanza tena na Bwana safari ya mafanikio yako (Way forward to your Prosperity)
C. ISHI MAISHA YA TOBA
Katika Hagai 1:1-11 tunaona jinsi ambavyo Mungu alisema na Israel jinsi walivyomkosea Kwa kuisahau nyumba yake wakati wao wanakaa katika nyumba yake wakati wao wanakaa katika nyumba zenye mapambo, katika msitari wa 6 Mungu anaendelea kueleza matokeo ya dhambi yao kwa kusema mnapanda wala hamvuni mnakula wala hamshibi.. mnakunywa lakini hamjazwi na vinywaji mnajivika nguo wala hamwoni joto, na yeye apataye mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka . Haya yote yalikuwa ni matokeo au makosa ambayo wana wa Israel waliyatenda kuhusu nyumba ya Mungu (HEKALU)
Lakini sasa angalia katika mstari wa 8, Mungu anawapa maelekezo ya kuishi maisha ya toba ili madhara yaliyowapata yasirudi tena. Hagai 1:8 Bwana anasema pandeni mlimani mkalete miti, mkaijenge nyumba, nami nitafurahia, nami nitatukuzwa asema BWANA hapa tutaona ya kuwa kutubu tu haitoshi, ila jambo muhimu ni kuishi maisha ya toba.
Yaani kuchukua hatua mpya ya kuishi kama Mungu anavyopenda. Tatizo lililopo ni kwamba watu (Wakristo) wengi wanapenda kutubu siku ya Jumapili katika ibada, misa ila kuanzia Jumatatu hadi Jumamosi huendelea kurudia makosa yale yale ya zamani yaliyowafanya washindwe kupata upenyo (Break through) katika nafasi ya kwanza.
Mpendwa kwa leo nataka nimalizie kwa kusema, sasa uko katika chumba cha mtihani tena. Hakikisha hukosei tena, maana safari hii lazima upenye utoboe, upasue mwamba na utoke katika jina la Yesu, Amen.
Kutoka Arusha Praise Centre Sekei
–Askofu Aminiel Mgonja
Tusadieni Mabinti
Tuesday, November 24, 2009Hivi karibuni nimesikia kutoka kwa binti (33yrs) kwamba umri wake umesonga hajapata kibali kwa vijana kumtamkia wawe wenzi, binti amechoka, amekata tamaa, amefikia hatua ya kusema yeyote atakayekuja dhehebu lolote lakini ana upendo wa kweli atamkubali au amtafute kijana anayempenda amwambie lengo lake.
Kwa mtizamo huu, tumsaidieje? (sio yeye peke yake nimesikia mabinti wengi wakisema pia)
Tukija kwenye Neno la Mungu, Kati ya mvulana na msichana Je, ni yupi anayetakiwa kumwambia mwenzake kwamba anahitaji awe mwenzi wake wa ndoa kwenye maisha?
Je huyo mdada, yuko chini ya laana, kwa miaka hiyo yote hajachumbiwa?
Mbarikiwe,–Binti Sayuni–
The Right Use of Money
Tuesday, November 24, 2009Since money is a tool that can be used for good or bad, it is important that we understand the Bible’s instruction on how we are to use it. The Bible gives directions and principles about the way we should use our financial resources. But, before considering the specifics, we need to understand God’s perspective and what He does for each one of us.
God reveals He is the Creator of heaven and earth. As such, everything belongs to Him. “. . . All the earth is Mine,” He declares (Exodus 19:5). This includes all precious metals (Haggai 2:8), animals (Psalm 50:11) and people (Ezekiel 18:4).
When God made man in His image (Genesis 1:26-27), He “put him in the garden of Eden to tend and keep it” (Genesis 2:15). Adam’s job was to care for the garden.
After Adam sinned by eating of the forbidden fruit, God told him: “Cursed is the ground for your sake; in toil you shall eat of it all the days of your life. Both thorns and thistles it shall bring forth for you, and you shall eat the herb of the field. In the sweat of your face you shall eat bread till you return to the ground, for out of it you were taken; for dust you are, and to dust you shall return” (Genesis 3:17-19).
Like Adam, we must work to sustain our lives. Human beings, however, are not self-sufficient. God continues to help us, providing for us in ways we cannot. “He causes the grass to grow for the cattle, and vegetation for the service of man, that he may bring forth food from the earth,” He tells us (Psalm 104:14).
When we enjoy the fruit of our labors, we should remember that everything we have is ultimately a gift from God, the Maker of everything. “As for every man to whom God has given riches and wealth, and given him power to eat of it, to receive his heritage and rejoice in his labor—this is the gift of God” (Ecclesiastes 5:19). With a few exceptions, working hard and enjoying the resulting fruits of one’s labor are godly principles most people understand and accept as a fundamental part of life.
The work of God
Yet humans are not the only ones who work. Jesus Christ said God the Father works (John 5:17). As a spirit being (John 4:24), God does not need food, shelter and clothing to survive. His work is spiritual and humanitarian. John 3:16 summarizes God’s motivation for everything He does toward mankind: “For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life.” This work of God, which He began before the foundation of the world (Matthew 25:34; Revelation 13:8; 1 Timothy 1:9), continues.
Similarly, God expects spiritual and humanitarian work of us. Just as we work to sustain ourselves physically, we must work for a greater spiritual purpose. The apostle Paul tells us, “For we are His workmanship, created in Christ Jesus for good works, which God prepared beforehand that we should walk in them” (Ephesians 2:10). We cannot earn salvation by human efforts, but God makes it clear that we were also created to do “good works” that have a vital spiritual dimension.
The money we earn from our physical and mental efforts can be profitably used to support important spiritual concepts and endeavors. Let’s examine and understand an important biblical principle the early Church practiced.
Our financial priority
Throughout the ages God has seen to it that a true message of hope has been preserved and spread. He first used His patriarchs, prophets and priests. Now, in this age, He uses His Church, His called-out followers. Jesus Christ commissioned His followers to proclaim the “gospel of the kingdom of God” to all nations (Mark 1:14-15; Matthew 24:14; 28:19-20). Christ’s message—”the gospel”—is far more extensive than many understand. Dedicating a portion of our incomes to this noble cause can make it possible for the good news, this message of hope, to be proclaimed throughout the world.
When Jesus sent out His disciples to spread the gospel of the Kingdom (Matthew 10:1), He said, “Freely you have received, freely give” (verse 8). The disciples did not have to charge others to provide for their physical needs because those needs were voluntarily supplied by those who heard their message (Matthew 10:11; Luke 9:3-4). As Paul later wrote, “Even so the Lord has commanded that those who preach the gospel should live from the gospel” (1 Corinthians 9:14).
The question naturally arises, how much should we contribute to further Christ’s commission to proclaim the gospel? People may debate this answer endlessly, but God has already given a specific answer—10 percent, also called a tithe (Leviticus 27:32). In instructing the ancient Israelites how to manage their financial affairs, God said, “all the tithe of the land, whether of the seed of the land or of the fruit of the tree, is the Lord’s. It is holy to the Lord” (Leviticus 27:30).
This passage shows us that this tithe belongs to God; it is His. It is not ours to do with as we please. Because God owns everything, He has the right to retain whatever He chooses. In reality, He is requesting only that we return to Him a portion of what He has already given to us.
God allows us to keep the greatest portion of the physical blessings He provides us. He asks only that we return a percentage, a tenth, to Him in acknowledgment that He is the source of all good things. If we ignore this principle, we will rob ourselves of God’s blessings (Malachi 3:8-9).
During His earthly ministry, Jesus Christ upheld the practice of tithing (Matthew 23:23) and encouraged His followers to “lay up for yourselves treasures in heaven, where neither moth nor rust destroys and where thieves do not break in and steal” (Matthew 6:20). Because tithing is a fundamental biblical principle for a more abundant life, let’s examine this scriptural practice in more detail.
Examples of righteousness
The first mention of tithing in the Bible is in Genesis 14. Here, Abram (later renamed Abraham; Genesis 17:5), the same person later extolled as a model of behavior for Christians (Galatians 3:29; Romans 4:11), engaged in a rescue mission to free his nephew, Lot, who had been taken captive (Genesis 14:1-14).
After successfully rescuing Lot and recovering various goods, Abram met with Melchizedek, “the priest of God,” and “gave him a tithe of all” (verses 16-20). Note that Abraham tithed on everything—not just agricultural produce as some have concluded.
Later we read of Abraham’s grandson Jacob making this promise to God: “. . . Of all that You give me I will surely give a tenth to You” (Genesis 28:22). The practice of tithing, we see, predated the ancient nation of Israel and the national covenant God made with the Israelites.
As time passed, the descendants of Abraham, Isaac and Jacob grew into the nation of Israel. After rescuing them from slavery in Egypt, God instructed the Israelites on how to be a holy nation (Exodus 19:6). Part of their obedience that would make them “a special treasure to Me above all people” (verse 5) entailed tithing on the “increase” God gave them year by year (Deuteronomy 14:22).
This basic biblical principle applies in our world. A farmer has certain expenses like seed, fertilizer, fuel, cost of equipment and perhaps rent for the land he farms before a crop is sown. The amount of increase is determined by subtracting the costs of doing business from the payment he receives for his harvest. Similar calculations would apply in most endeavors, whether we are self-employed or work for someone else.
Change in the law’s application
After determining the tithe, or tenth, of one’s increase, God instructed that this increase was to be given to the Levites, who were responsible for taking care of the tabernacle (Numbers 1:50-53). After receiving the tithes, they, too, were expected to tithe on their increase (Numbers 18:26; Nehemiah 10:38).
Since Jesus’ crucifixion and resurrection, He has “become High Priest forever according to the order of Melchizedek” (Hebrews 6:20). Jesus serves in the same priestly order as Melchizedek, to whom Abraham paid tithes long ago. This change from a Levitical priesthood back to the Melchizedek order required other changes.
As Hebrews 7:12 says, “For the priesthood being changed, of necessity there is also a change of the law.” The physical priesthood of the Levites was replaced by the spiritual priesthood of Jesus Christ. The priestly services at the temple, which were supported by tithes, came to an end when the Romans captured Jerusalem and destroyed the temple in 70 A.D. Today Jesus Christ is our spiritual High Priest, and His ministers have the responsibility of serving God’s people. God’s tithes are now to be given to those who are faithfully continuing His work.
Acknowledging God’s blessings with His tithe and honoring Him with offerings is the first step in setting up a financial plan grounded in biblical principles. As Proverbs 3:9 tells us: “Honor the Lord with your possessions, and with the firstfruits of all your increase; so your barns will be filled with plenty, and your vats will overflow with new wine.”
Providing for the needy
Early in the history of mankind, God intended for us to be our “brother’s keeper.” Though Cain failed to understand this principle (Genesis 4:9), God made it clear in His instructions to Israel: “For the poor will never cease from the land; therefore I command you, saying, ‘You shall open your hand wide to your brother, to your poor and your needy, in your land’” (Deuteronomy 15:11).
The principle of helping the needy goes back to God’s original instruction for people to care for each other. Jesus Himself said that serving others (Matthew 25:31-46) and having love for one another were honorable, identifying characteristics of His followers (John 13:34-35).
As we are able, at times we need to provide additional help to the needy. As the apostle John wrote: “But whoever has this world’s goods, and sees his brother in need, and shuts up his heart from him, how does the love of God abide in him? My little children, let us not love in word or in tongue, but in deed and in truth” (1 John 3:17-18).
Proverbs 3:27 adds, “Do not withhold good from those to whom it is due, when it is in the power of your hand to do so.”
When we give to people in need, we follow the example of our Creator, whose nature is love toward others (John 3:16; 1 John 4:8). God wants us to develop the same loving, caring concern He has for all humankind. Describing this giving attitude, Paul wrote, “Let him who stole steal no longer, but rather let him labor, working with his hands what is good, that he may have something to give him who has need” (Ephesians 4:28).
Charitable giving is another fundamental step in a godly financial plan.
Supporting your family
Let’s turn our attention to the family. Paul wrote about the need to provide for your nearest of kin: “. . . If anyone does not provide for his own, and especially for those of his household, he has denied the faith and is worse than an unbeliever” (1 Timothy 5:8). God expects families and relatives to take care of each other if they are able, before asking others for help. Refusing or neglecting to obey this principle is an affront to God and His instruction.
Jesus Christ roundly condemned any who would neglect God’s instruction to care for their families (Mark 7:8-23)
egrettably, some fail to support their families. Fathers and mothers who refuse to provide for their children violate God’s most basic financial responsibilities and principles and bring untold hardships on their offspring. The same is true for children who refuse to help their aged parents when they are in need.
Jesus used the principle of providing for family members to illustrate God’s love for us as His children: “If you then, being evil, know how to give good gifts to your children, how much more will your Father who is in heaven give good things to those who ask Him!” (Matthew 7:11).
Now that we have an idea of how God expects us to use our financial resources, let’s look at specifics on how to establish and maintain a workable financial plan.
Jiandae kulisoma Jarida
Saturday, November 21, 2009
….Hivi karibuni!
Ofisi ya Mauzo
New Bagamoyo Road, Mbezi Tanki Bovu,
Plot No. 1125 , P.O BOX 38441,
Dar- es- Salaam, Tanzania
Tel: + 255 22 2627154, Mobile: +255 714 221 589
Naomba Maombi, baba yangu amepotea!
Saturday, November 21, 2009Wapendwa Bwana Yesu asifiwe.
Naomba maombi yenu kwa ajili ya kupotea kwa baba yangu mzazi mzee Jeremiah Ramadhani Nguluma ambaye aliondoka nyumbani Tandika Dar es salaam yapata miezi miwili na nusu sasa. Awali tulidhani kuwa ameenda nyumbani Mwanga Kilimanjaro kwani ana ugonjwa wa akili ingawa anaweza kujitambua na kufanya mambo yake bila ya tatizo. Lakini mpaka sasa tumejitahidi kwa kadri ya uwezo wetu tukimshirikisha Mungu katika maombi (kwani sisi tuna maombi ya kiukoo kila tarehe 12 ya kila mwezi kwa wale wote ambao tumeokoka) kumtafuta lakini hatujapata picha ya nini kimemtokea.
Ukweli kibinadamu inatisha sana kwa jambo hili kumtokea mzee wa miaka 72. nita scan picha yake hivi karibuni na kuomba uongozi wa blogu hii uiweke ili kama kuna mtu atakuwa amemuona basi atujulishe.
Mungu awabariki sana
–AMIN NGULUMA
Kiu ya Nafsi ya Jenniffer Mgendi iko madukani
Monday, November 16, 2009Bahati Bukuku na Jenniffer Mgendi
Muimbaji wa Injili nchini na mcheza filamu Jeniffer Mgendi tayari ana album mpya kwa jina la KIU YA NAFSI, iko madukani. Tarehe 29/12/2009 atafanya uzinduzi wa Album yake Landmark Hotel!
Kwa nafasi yako, ombea mpenyo wa Injili Zanzibar
Monday, November 16, 2009
Zanzibar ni mahali ambapo panahitaji maombi yako, Ombea watu wamjue Bwana Yesu, Ombea watumishi wa Mungu wanaofanya kazi ya Mungu Zanzibar, omba kuwepo na mpenyo wa Injili kila sehemu ya mji huo. Roho ya udini ikashindwe na watu wakafunguliwe kutoka nguvu za giza, wawe huru na Jina la Yesu liinuliwe! Ubarikiwe kwa kuiombea Zanzibar.
Fursa haiji mara mbili, nafasi huja mara nyingi!
Monday, November 16, 2009“Mungu anakupa fursa ya kutoka kwenye nafasi moja kwenda katika nafasi nyingine, anakuweka katika nafasi ili uiendee fursa ambayo amekupa, kila pingamizi unalopitia katika maisha yako, ndani ya mapingamizi hayo kuna mbegu za kuiendea fursa yako.
Tatizo sio tatizo, tatizo ni nini kilicho ndani ya tatizo lako. Mungu hutoa fursa mara moja tu lakini nafasi huja zaidi ya mara mbili ili kuinua kiwango chako”.
–Pastor Justine Kaleb–
How Can We Make Life Work?
Monday, November 16, 2009
Looking for some good advice? You may not realize it, but you probably already own the best self-help book ever published, one that’s loaded with practical guidance to help you achieve success in your career, friendships, finances, family and every other aspect of life. That book is your Bible. We’ve prepared this guide, Making Life Work, to help you discover the Bible’s principles for success.
Frankly, life just isn’t working for some people. Maybe you have noticed the incredible proliferation of self-help books on store and library bookshelves.
Why are so many self-help books published? Could it be simply because people recognize they need help with the many problems, challenges and stresses of everyday life? Writers and publishers recognize this, and their books fly off the shelves by the thousands.
You may not realize that most families already own the best self-help book ever published. Millions of copies have been published, and it’s been translated into hundreds of languages. Its words have been around for thousands of years. This book is your Bible.
Although it’s a perpetual best seller, few people take the time to read and study the Bible. Most think it’s nice to have around and that everybody should have one, but few seem to accept that it means much to us. After all, how could something written thousands of years ago apply to our fast-paced, technologically advanced world? Still others think the Bible is a book for theologians and cannot be understood by the average person.
Those who take the time to study the Bible, however, find it is a timeless book. It addresses the ageless issues and questions: Why are we here? Where are we going? What are the solutions to perpetual human problems? How can we learn to live together in peace? How can we live rewarding, fulfilling lives?
The Bible is filled with practical, down-to-earth advice from our Creator. It can help us see and avoid the pitfalls that come with doing things our way (Proverbs 14:12; 16:25). It records for us vital and profound lessons from real people.
The Bible clearly shows the principle of cause and effect—that our choices and actions, good and bad, produce good and bad results. It’s filled with sound counsel on how to have happy families, marriages and friendships, how to properly rear children, how to manage family finances and succeed on the job, how to maintain your health and so much more. In short, it tells us how to make life work.
The challenge of living the truth you learn
Keep in mind, however, that just because the advice is there doesn’t mean it’s easy to follow. It takes effort. Trying to live by the Bible’s instruction is a challenge.
Our natural inclination is to go a different direction from what the Bible teaches (Romans 8:7). We’re surrounded by a secular world largely oblivious to biblical values, and those who wish to obey God often find themselves swimming upstream against popular thinking and ways of doing things. Nor does it help when we see that many who profess to be Christian display little or no commitment to living by God’s instructions.
Also, we need to be aware that things don’t always work out the way we expect, even when we do try to follow God’s instruction. Scripture tells us that “time and chance happen to [us] all” (Ecclesiastes 9:11). In other words, in spite of our best efforts, other circumstances and situations beyond our control will affect us—sometimes for the better, at times for the worse. Although we can control our own actions, we sometimes have little or no control over the actions of others that spill over and affect us.
God doesn’t tell us this life will be perfect when we put His instruction into practice. In fact, He tells us to expect adversities (2 Timothy 3:12; 1 Peter 2:20). He assures us, though, that in spite of difficulties and disappointments, “all things work together for good to those who love God” (Romans 8:28).
Is living this way worth it?
In the face of such difficulties, some may question whether it is worth the effort to live a godly life. But the Bible assures us that “godliness is profitable for all things, having promise of the life that now is and of that which is to come” (1 Timothy 4:8, emphasis added throughout).
Some people recognize that living God’s way holds great promise “of the life . . . which is to come.” Far fewer understand that living a godly life also has benefits in “the life that now is”—that is, our present physical lives. They misperceive God’s way as restrictive and detrimental to a happy, fulfilled life.
God’s way of life, however, is not a burden; it is most assuredly a blessing.
After all, God’s purpose for sending Jesus Christ to earth was to give us the opportunity for eternal life. “For God so loved the world that He gave His only begotten Son, that whoever believes in Him should not perish but have everlasting life” (John 3:16).
God is concerned about our eternal well-being. But Jesus revealed another reason for His coming when He said, “I have come that they may have life, and that they may have it more abundantly” (John l0:l0). Jesus came so we can have eternal life, but He came also to help us understand how we can enjoy fulfilled, productive lives right now.
The apostle John expressed God’s desire for us when he wrote, “Beloved, I pray that you may prosper in all things and be in health, just as your soul prospers” (3 John 2).
Even though living by God’s instruction can bring trials and suffering (John 16:33; Acts 14:22), Jesus promised tangible blessings in the here and now for following God’s way of life and then, in the age to come, eternal life (Mark 10:29-30). We can experience definite blessings in this life for following the instructions found in God’s Word.
Mungu anataka nini kwetu?
Wednesday, November 11, 2009Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha yaliyo mema; na Bwana anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako!
–Mika 6:8–
UKOMBOZI NI NINI?
Wednesday, November 11, 2009
Ukombozi ni kufunguliwa kutoka katika laana za Baba zetu na maagano ambayo mababu zetu waliagana na mizimu, wakaapa katika madhabahu za mizimu, wakaapa katika madhabahu za maziwa, waliotoa kafara za wanyama na ndege na za watu maagano haya ndio yanayofanya sisi tusirithi nchi, Mungu alitaka wana wa Israel waangamizwe kabisa mataifa haya na kazi kuziporomosha madhabahu zote. Lakini kwa kuziporomosha Mungu akaangamiza, wakawa wanarithi kizazi hadi kizazi. Ukisoma nabii Yeremia anaomboleza katika kitabu cha Maombolezo 5:1:7.
(1) Utaona wageni ni nini? wageni ni mapepo, mapepo ni wageni wao wamechukua nafasi ndani yetu, wametukalia wametutesa hatuna raha kwa sababu ya wageni
(2) Makafiri, makafiri ni nini? Makafiri ni laana ambazo tumezirithi kutoka kwa baba zetu, je? Mtu anaweza kuwa ameokoka na akawa na mapepo? Au laana? au mapepo?. Biblia inasema Yesu alichukua laana zote msalabani, ni kweli aliibeba laana zote 7 msalabani na akazigongomea msalabani kabisa, lakini tujiulize kwa nini leo watu wengi ambao wanasema wameokoka wana mapepo na laana? unafikiri Mungu amuokoe mtu halafu amuache na laana na mapepo?.
Hapana tatizo si Yesu tatizo ni mtu binafsi anapaswa kutofautisha kuokoka na kukombolewa, mtu anaweza kuwa ameokoka lakini bado hajakombolewa, mtu anapookoka ndio mwanzo wa kuendelea na ukombozi. Kwa hiyo mtu anaweza kuwa ameokoka lakini bado ana uchungu, mzinzi, mvutaji, muongo ana uchungu, Hasira, uchoyo, ni mtu wa kujivuna n.k si kwamba hajaokoka, ameokoka na yawezekana amejazwa naa Roho na kunena kwa Lugha wengine wameokoka lakini bado wana roho ya uchawi.
KUOKOKA SI KWAMBA UMEKOMBOLEWA NI MWANZO WA KUENDEA UKOMBOZI AU SAFARI KWENDA KWENYE NCHI ya ahadi, yaani kwenye mafanikio yako, unakuta mtu umeokoka lakini bado ni mtu wa kuanguka anguka, na tabia za ajabu ajabu ujue hujakombolewa na unahitaji ukombolewe, Yesu anasema katika Mathayo 12:29 Ama awezaje mtu kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu? na kuviteka vyombo vyake, asipomfunga kwanza yule mwenye nguvu? unapaswa kujua kwanza mtu mwenye nguvu ni nani, Huyu si mwingine ni Shetani, Shetani ni mwenye nguvu, yeye anaishi ndani ya watu, amefanya kuwa ndio nyumba yake, Amefanya miili ya watu ndio nyumba yake, lazima utambue na kumjua kama unataka kukombolewa, ukijua ni wapi umefungwa na chanzo chako cha kufungwa, Hapo ndipo utakapofunguliwa au kukombolewa.
UKOMBOZI UTALETA UTAKATIFU, UTAKATIFU UTALETA URITHI, NA URITHI UTALETA RAHA YOELI 2:15:17
Ili upate ukombozi
(1) lazima utii mambo makubwa na madogo, maana Bwana Yesu alitii, watu wengi wanataka mambo makubwa lakini mambo madogo hawatii (2) Uache ustaarabu (3) kiburi (4) kujihesabia haki, hapa ndipo kuna tatizo kubwa kwa wapendwa wengi kama wachungaji na wazee wa kanisa kwa sababu wameokoka miaka mingi, wanajihesabia haki na kusema mimi sina pepo au laana wakati huo huo mtu anateseka na anajua kuwa kuna vitu vinamtesa, kumesababisha wengi wasikombolewe kwa kujihesabia haki ili kifungo cha pepo kifunguke, usijihesabie haki (5) Usiwe na aibu wakati wa ukombozi, aibu imewafanya watu wengi wasifungiliwe .
TUNAJIFUNGUA VIPI?
(1) Unapaswa kujua kazi ya jina la Yesu
(2) Unapaswa kujua kazi ya damu ya Yesu
Kazi ya damu ya Yesu ni (i)Kubomoa (ii) kuangamiza (iii) kuteketeza (iv) Kusafisha na kutakasa nk. Tambua ni roho gani imo ndani yako au ugonjwa gani uukatae kwa jina la Yesu alafu uifunge kwa jina la Yesu na anza kubomoa kwa damu ya Yesu, kuangamiza kwa damu ya Yesu: Damu ya Yesu inatufanya tushinde mapigo yote ya laana, na itatufanya tuwe karibu na Bwana Efeso 2:13
Ukishavunja kinachokutesa, lazima ukifunge ndani mwako kwa jina la Yesu, mfano; unasumbuliwa na Asma, UKIMWI ama kukosa usingizi, unasema, ewe Asuma nakukataa kwa jina Yesu, na nina kupinga kwa jina la Yesu toka ndani yangu, mara nyingi hii inahitaji uwe na mtu karibu aweke mikono na kukemea kwa nguvu ukishasema toka toka toka kwa jina la Yesu, unapaswa utoe pumzi nje mara 7o kwa nguvu, hii lazima awepo mtu lakini kama hakuna mtu unaweza kupumua mara saba tu. Mtu anaweza kujifungua mwenyewe lakini, inaweza kutokea akaanguka chini akapiga kelele na kugaragara chini, hili linaweza kutokea japo si kwa wote.
Na mwingine hufunguliwa usingizini, mtu amelala chini na anapatwa na usingizi hapo hapo Mungu anamfanyia ukombozi, kuna mambo mengine ambayo mtu anakua amefungwa nayo lakini hayajui, hapa anahitaji kumuomba Roho mtakatifu amfunulie, ukiomba Roho Mtakatifu akufunulie kinacho kutesa, atakufunulia.
Mungu anataka kila mtu akombolewe na huu ndio mpango wa Mungu kwetu .
–Simon Rugembe–Dar es salaam
Simama kwenye zamu yako!
Monday, November 9, 2009Bwana Yesu Asifiwe Watumishi wa Mungu,
Habakuki alikua mtumishi wa Mungu aliyekua na uchungu na nchi yake na kazi ya Mungu alipoona udhalimu, ugomvi na mashindano vikitokea katika Taifa lake na watu wa nchi yake, alikua na maswali mengi aliyotaka apate majibu. Habakuki 1:1-4
Ndipo akajiambia “Mimi nitasimama katika zamu yangu, nitajiweka juu ya mnara, nitaangalia ili nione atakaloniambia, na jinsi nitakavyomjibu katika habari ya kulalamika kwangu” Habakuki 2:1
Baada ya kuwa na maswali katika nchi yangu, baada ya kuona ufisadi, udhehebu na rushwa vimetawala katika nchi na kanisa, baada ya kuona mshindano ya watumishi wa Mungu na malumbano, na watu kujitwalia Utukufu, Nimesimama katika zamu yangu, nimekua na kiu ya kuona badiliko likitokea.
Habakuki akasema yeye atajiweka kwenye mnara (maombi, kuutafuta uwepo wa Mungu) Unapokua kwenye mnara wowote wa simu lazima network itabamba. Ukimtafuta Mungu ataonekana kwako. Tena Habakuki akasema ataangalia ili aone Mungu atamuambia nini, aseme nae kuhusu yaliyojaa moyoni mwake, apate majibu ya malalamiko yake.
Habakuki alipoamua kumtafuta Mungu, Mungu alimjibu maswali yake aliyokua nayo.
Tukisimama kwenye zamu yetu, katika nafasi yetu, tutafanya mabadiliko makubwa, tusisubiri kutangaziwa maombi ya kufunga na kuomba makanisani kwetu, tusisubiri mpaka mambo yawe mabaya sana, tusiwe kama bendera inavyofuata upepo. Tusimame kwenye zamu yetu!
–MD–
Raising Daughters of abraham, Marekani
Monday, November 9, 2009
Kutoka kushoto Mtumishi Lenita Reeves kutoka Maryland, Pastor Brenda McClintock kutoka Missouri na Pastor Catherine Abihudi katika picha ya pamoja kwenye semina iliyofanyika hivi karibuni huko Marekani.
Ndoto yako itatimia.
Monday, November 9, 2009
Unapokua na ndoto, tegemea kupata majaribu na misukosuko, usiogope hautakufa mpaka ndoto yako itimie. Mungu amekusudia yaliyo mema kwako. Shetani amekusudia upate mabaya hivyo simama imara ndoto yako itatimia tu.
–Apostle Chriss Madulu– Kilimanjaro
1 Wakorintho 13:1-13
Wednesday, November 4, 200913:1 Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
13:2 Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.
13:3 Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu.
13:4 Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni;
13:5 haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;
13:6 haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli;
13:7 huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote.
13:8 Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.
13:9 Kwa maana tunafahamu kwa sehemu; na tunafanya unabii kwa sehemu;
13:10 lakini ijapo ile iliyo kamili, iliyo kwa sehemu itabatilika.
13:11 Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto.
13:12 Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.
13:13 Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.
The Mark and Number of the Beast
Monday, November 2, 2009
The second beast of Revelation 13 will cause “all, both small and great, rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hand or on their foreheads, and that no one may buy or sell except one who has the mark or the name of the beast, or the number of his name” (verses 16-17).
What is behind this strange-sounding practice? How will it affect people as the time of the end draws near?
There is historical evidence that, in the ancient Babylonian culture, slaves “were identified … [by] some kind of mark, either tattooed or branded on the face or the back of the hand … ” (H.W.H. Saggs, The Greatness That Was Babylon, 1962, p. 173). There may be parallels between this ancient practice and what God reveals will happen in the end time.
Many have speculated about the meaning of this puzzling prophecy. Some interpret it in terms of supercomputers, unique personal identity numbers and even microchips embedded under the skin.
However, we should consider that receiving a mark on the hand or forehead could well be figurative. Remember from Revelation 7:3 that God’s servants were sealed on their foreheads. And in Deuteronomy 6 Moses told God’s people to “keep all His statutes and His commandments,” noting, “You shall bind them as a sign on your hand, and they shall be as front lets between your eyes” (verses 2, 8). The hand and forehead here represent one’s actions and thoughts respectively—which should be dedicated to obeying God.
Likewise the mark of the Beast is evidently a mark of disobedience to God. Many Bible students have pointed to God’s seventh-day Sabbath as an identifying sign of His people in Exodus 31:12-17 and see the mark of the Beast as running counter to it. They believe that forced observance of Sunday—a day originally dedicated to the worship of the sun as a god instead of the observance of the seventh-day Sabbath—could be involved. This view is strengthened by the fact that other prophecies in the book of Revelation show a great counterfeit religious figure and system will play major roles in leading people away from the true God and play into Satan’s hands at this time.
The Bible does not explicitly define the specific methods that the Beast will use to identify those free to participate in -commerce at the time of the end. Some sort of advanced surveillance may be involved.
As to the number of the Beast, 666, we are told to “count the number” and that it is “the number of a man” (Revelation 13:18). One early explanation is attributed to John’s disciple Polycarp, who, according to his student Irenaeus, said this number is derived from adding together the numerical equivalents of the letters in the word Lateinos, the Greek word for “Roman”—this being the name of the Beast empire, its ruler and everyone in it. So the number may well denote this general distinction, though it could also be more specific.
However this prophecy is fulfilled, it is clear that it will involve compromising and contradicting God’s commands. Having proof that one is officially associated in some way with the Beast will be necessary for one to be allowed to engage in commerce.
Exactly how the end-time number of the Beast, 666, will be used and applied is not yet clear. But in some way it will be associated with the Beast’s name and applied to his evil activities.
Uzinduzi wa Upendo Nkone, 15 Novemba
Monday, November 2, 2009Upendo Nkone anawakaribishwa watu wote kwenye uzinduzi wa album yake ya tatu ZIPO FAIDA KUKAA NA MUNGU, utakaofanyika Diamond Jubilee, Waimbaji wengi watakuwepo kama David Robert, Christina Shusho, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Victor Haroun, Pastor Mwasumbi, Light Band kutoka DRC CONGO, DGC Choir, The Reapers, AIC Magomen, Pastor David Lutumba. Nyote mnakaribishwa pate kile Mungu ameweka ndani yake kwa siku hiyo. Mbarikiwe na Bwana Yesu
Naomba maombi kwa ajili ya mtoto wa jirani yangu
Monday, November 2, 2009Bwana Yesu Asifiwe!
Kuna mzazi mmoja hapa Morogoro aitwaye Michael Peter, ana binti yake aitwaye Veronika Michael, umri wake miaka 13. Anasumbuliwa na pepo la kumpumbaza akili tangu akiwa na umri wa miaka 6. Nawasilisha maombi mumuombee mtoto wa jirani yangu.
–Alex Mnyenyerwa–
Campus Night 2009
Monday, November 2, 2009 
This Friday, November 6, 2009
A night of Praise, Prayers and Fellowship
PARTICIPANTS:
A College & University Student
VENUE: Old National Stadium ( Uhuru )
Free Entrance!
Organized by
Posted by Strictly Gospel
Posted by Strictly Gospel
Posted by Strictly Gospel 









-Mike Walters–

