Kujiua ni dhambi?

Kujiua ni dhambi?

Hapa karibuni nimekutana na maswali mengi sana. Nilikuwa na rafiki yangu wa karibu sana (msabato) ambaye alipata shida kidogo lakini kwa kuwa niligundua ni ya kiroho, nikaanza kumshirikisha neno na zaidi nikampeleka kanisani aonane na mchungaji. Alipowasili kanisani ghafla alikataa kuombewa na kumpokea Yesu, akisema kuwa anaamini Mungu ni mmoja. Hatukuweza kumlazimisha, baada ya miezi … Continue reading »

TAMKO LA ASKOFU MKUU WA TAG, KUHUSU MATUKIO YANAYOASHIRIA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI

TAMKO LA ASKOFU MKUU WA TAG, KUHUSU MATUKIO YANAYOASHIRIA UVUNJIFU WA AMANI NCHINI

  Kwa kipindi kirefu sasa kumekuwa na mfululizo wa matukio yanayoashiria uvunjifu wa amani, umoja na utengamano wa taifa letu la Tanzania, haya ndiyo yanayonisukuma kutoa tamko hili leo ili kuonya na kushauri. Katika siku za karibu kiumeibuka makundi mbalimbali ya kidini ambayo yalianza kutoa matamko yenye kuchochea ghasia za kidini Tanzania, na pengine kauli hizo ndizo … Continue reading »

Mungu anatukuzwa kwa wanaobadili miili yao?

Mungu anatukuzwa kwa wanaobadili miili yao?

Bwana Yesu asifiwe, kumekuwa na tatizo la watumishi wa Mungu hasa wanawake kuongeza vitu kadhaa kwenye maumbile yao, mfano kujichubua, kuongeza makalio, kupachika nyusi, wanaopunguza mwili, nk nk Hivi kweli kama kuna mtumishi wa namna hii, anapoimba au kuhubiri kwa watu, Mungu anajitwalia Utukufu? na siku hizi kuna hata wanaume wanajichubua! wako makanisani. Unatafsiri gani … Continue reading »

Leo ni siku ya Pentekoste

Leo ni siku ya Pentekoste

Ni siku ya Pentekoste, inajulikana kwenye madhehebu ya kipentekoste na vikundi mbali mbali vya kikristo. Siku halisi ya Pentekoste ilianza baada ya siku hamsini (50) Bwana Yesu kufufuka. Roho Mtakatifu alivyomiminwa kwa wanafunzi wapatao 120. Na kutimiza unabii uliotolewa zamani Matendo 1:15-16 ‘Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu … Continue reading »

Malaika Waliumbwa lini?

Malaika Waliumbwa lini?

Bwana Asifiwe wana SG, Hivi MALAIKA WALIUMBWA WAKATI GANI?Coz shetani(The fallen Angel) alishuka bustanini kumjaribu Adam and Eve, Hakuna popote kabla ya hapa katika habari ya uumbaji Biblia inazungumza kuumbwa kwa malaika. It was total darkness and the Spirit of God was hovering over the waters,Stori yote ya uumbaji haiinclude Angels,Ghafla shetani anatokea kuwajaribu.Pls help … Continue reading »

Catholics do not worship statues—Lwanga OH! Really

Catholics do not worship statues—Lwanga OH! Really

“Thou shalt not make unto thee any graven image, or any likeness of any thing that is in heaven above, or that is in the earth beneath, or that is in the water under the earth” (Exodus 20:4) http://www.newvision.co.ug/news/630374-catholics-do-not-worship-statues-lwanga.html Publish Date: Apr 16, 2012 By Juliet Lukwago The Archbishop of Kampala Dr. Cyprian Kizito Lwanga … Continue reading »

Who Is The Jew?

Who Is The Jew?

With all the different ideas floating around out there, one of them is bound to make us happy.  But I am not interested in an idea that is not founded and based upon truth which is the word of God.  There is a prevalent idea among us that states the natural Jew has a foot … Continue reading »

Nassari Atoa Shukrani Kanisani

Nassari Atoa Shukrani Kanisani

Mbunge Joshua Nasari na Kangi Lugora wakitoa shukurani zake kanisani.   Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Bw Joshua Nassari  jana tarehe 20 May 2012, alitoa sadaka ya shukrani katika kanisa la FPCT Kilinga Wilayani Meru mara baada ya kuchaguliwa kama Mbunge wa jimbo hilo.   Akiongea na Mamia ya wananchi wa jimbo hilo katika … Continue reading »

Utafiti wa kisayansi uliogundua sauti za wanadamu wanaoteseka kuzimu

Utafiti wa kisayansi uliogundua sauti za wanadamu wanaoteseka kuzimu

Kikundi cha wanajiolojia watafiti Katika makala haya, tutaangalia jinsi wanasayansi wa kawaida, tena ambao walikuwa hawaamini  kabisa kwamba kuna Mungu au shetani, katika utafiti wao ambao haukuwa na uhusiano wowote na masuala ya rohoni, walijikuta wanagundua mambo ambayo yaliwatia hofu hadi wengine kukimbia kazi. Waliweza kusikia waziwazi sauti za vilio vya mateso kutokea katikati ya … Continue reading »

Mwakasege Kufanya Semina Marekani

Mwakasege Kufanya Semina Marekani

Mwalimu Christopher Mwakasege anatarajia kufanya semina tarehe 24 May 2012. Pamoja na semina hii waimbaji watakaoimba ni pamoja na J Sisters na Flora Mbasha. Pia mlio jirani na Maryland, nyote mnakaribishwa. Mwalimu Mwakasege, ataendelea kwenda majimbo mengine ambapo tutawajulisha ratiba. Mungu awabariki

AMKA CAMPAIGN–ZAMU YA TANZANIA KUSHINDA KWENYE AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS

AMKA CAMPAIGN–ZAMU YA TANZANIA KUSHINDA KWENYE AFRICA GOSPEL MUSIC AWARDS

Christian Bloggers Association Presents Amka Campaign Amka Campaign, ni Kampeni maalumu ya kuwashawishi watanzania wawapigie kura wanamuziki wa injili nchini ili kuibuka washimdi katika TUZO ZA MUZIKI WA INJILI BARANI AFRIKA.(AGMA). Lengo hasa la Amka Campaign ni kuzidi kuutangaza Muziki wa Injili kutoka Tanzania kwa bara zima la Afrika na Dunia kwa ujumla. Kwa muda … Continue reading »

Iran Calls for ‘Islamic Awakening’ to Destroy Israel

Iran Calls for ‘Islamic Awakening’ to Destroy Israel

by NTEB News Desk An Iranian official called this week for an ‘Islamic Awakening’ movement to help Palestinian Authority Arabs “demolish the Zionist regime”, the IRNA news agency reported. Nakba Day protests May 2012 The comments were made at a conference in Tehran in honor of Nakba Day – the day of catastrophe – which is what the … Continue reading »

Manny Pacquiao atumia Biblia kumkemea Obama

Manny Pacquiao atumia Biblia kumkemea Obama

Baada ya Obama kuunga mkono ndoa ya jinsia moja mapema wiki hii, Pacquiao ameelezea kwamba Raisi amekosea. Aliyasema hayo kwenye moja ya mahojiano yake akielezea Jamii inahitaji kumweka Mungu wa kwanza. Manny Pacquiao aliyeacha kucheza ndondi, alinukuu kitabu cha Mambo ya Walawi 20:13 “Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, … Continue reading »