Mkuu wa Mkoa Wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda tarehe 8 mwezi Wa tisa ametoa kibali kwa Watumishi wa Mungu wa Dini zote kuhubiri na kutangaza neno la Mungu kwenye Sehemu za Club, Disko na Kumbi za Starehe ili neno la Mungu lizidi kuenea na kuwafikia watu wote jambo litakalosaidia kujenga jamii inayomjua Mungu. … Continue reading
KUMJUA MUNGU
KUMJUA MUNGU NI CHANZO CHA MAFANIKIO YAKO YOTE 21 Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia. Ayubu 22:21 Kumjua Mungu ni kuwa na ufahamu wakutosha kumuhusu Mungu.Unafamu yeye ni nani ,ana nguvu kiasi gani, uweza alonao nk hii inatufanya tujiweke chini ya utawala wake Na kutoa Maisha yetu yote kwa kwake . … Continue reading
Bwana Yesu Hajawahi Kushindwa
Siku zote, tunaposhindwa, tunapoanguka, tunapoumia na kudharauliwa..ย Tusisahau hatuko peke yetu katika kila hatua, Bali tunaye Bwana wa Mabwana, mfalme wa wafalme, jemedari mkuu,ย Bwana wa Vita, hatatuacha tupigane peke yetu! Hajawahi na kamwe haitatokea akashindwa. Ni jambo gani la kumshinda huyu Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka na Yakobo?ย HAKUNA Ni yeye Yule Jana, Leo … Continue reading
Heri ya Mwaka Mpya 2017
Jehovah Awatangulie Yeye aliye Mtu wa Vita._ _ ๐ Akasimame na Kukuongoza daima Mapito na Njia zako._ _ ๐ Jehovah Akamfunike Kila Mmoja kwa Nguvu na Kwa Neema Pande Zote._ _ ๐ Jehovah akawajaze Nguvu mpya na mamlaka ili mzidi Kumpa shetani Kipondo katika Maisha yenu._ _ ๐ Jehovah akawafunike kwa Mbawa zake_ _ ๐From … Continue reading
Tuukomboe Wakati
ย Waefeso 5:16-17. “mkiukomboa wakati kwa maana zamani hizi ni za uovu”. “Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana” Shalom. Leo tutafakari mambo machache tunapojiandaa kupokea mwaka 2017. 1. Tusiupokee mwaka kwa mazoea bali tujitafakari. Ukweli ni kwamba dunia inaingia 2017 lakini kifikra sio kila nchi au mtu amefika … Continue reading
Kufurahia thawabu ya kashfa ya uongo….
Amini usiamini! Kumbe kuna thawabu kwa ajili ya kutungiwa kashfa za uongo! Haya si maneno yangu binafsi. Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyesema haya kama ilivyoandikwa hapa chini: โHeri ninyi watakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila neno baya kwa uongo, kwa ajili yangu. Furahini, na kushangilia; kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana ndivyo … Continue reading