3 thoughts on “Album Nimeuona Mkono wenye Baraka iko Tayari”
Nyimbo za dini ni nyimbo ambazo zinadhamiria kumsifu MUNGU Ambapo haziusiana na namna yoyote ya uchezaji au uvaaji wa kiduni kwa maana ya fashion za kidunia au kitindo. Hope umenielewa hapo;
Mazogola nisaidie kujibu swali.
Kwani nyimbo za kidunia ni zipi na za kimungu ni zipi?
Me naona Bora aimbe nyimbo za kidunia binafsi haijanibariki hata kidogo, hatuwezi kufananisha mambo ya KIMUNGU na ya kidunia
Nyimbo za dini ni nyimbo ambazo zinadhamiria kumsifu MUNGU Ambapo haziusiana na namna yoyote ya uchezaji au uvaaji wa kiduni kwa maana ya fashion za kidunia au kitindo. Hope umenielewa hapo;
Mazogola nisaidie kujibu swali.
Kwani nyimbo za kidunia ni zipi na za kimungu ni zipi?
Me naona Bora aimbe nyimbo za kidunia binafsi haijanibariki hata kidogo, hatuwezi kufananisha mambo ya KIMUNGU na ya kidunia